Kwa
mujibu wa ibara ndogo ya 4 ya ibara ya 10 ya Katiba ya CCM (Toleo la Mei,
2005), moja kati ya kazi za Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM ni
kusimamia Kampeni za Uchaguzi za Chama.
Kwa
kuzingatia kuwa Kamati Kuu hufanya kazi zake kwa vikao ambavyo huchukua muda
kufanyika, imeamua kuunda Kamati ya Kuratibu Kampeni za CCM Kitaifa ambayo
itafanya kazi za siku kwa siku kwa niaba ya Kamati Kuu kwa kipindi chote cha
Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.
Katika
kikao chake cha tarehe 29 Juni, 2005, Kamati Kuu iliwateua wafuatao kuwa
wajumbe wa Kamati hiyo:-
|
1.
Ndugu Philip J.
Mangula
2.
Brig. Gen (Mst.) Hassan Ngwilizi
3.
Ndugu Saleh Ramadhan Ferouz
4.
Ndugu Salome Joseph
Mbatia
5.
Ndugu Jackson
Msome
6.
Ndugu Omar Ramadhan Mapuri
7.
Ndugu Kingunge NgombaleMwiru
8.
Ndugu Abdulrahman
Kinana
9.
Ndugu Dr. Emmanuel Nchimbi
10.
Ndugu Samia Suluhu Hassan
11.
Ndugu Anna
Abdallah
12.
Ndugu Ali Ameir
Mohamed
13.
Ndugu Rostam Aziz
14.
Ndugu Mansoor Yusuf
Himid
15.
Ndugu Mohamed Aboud Mohamed
16.
Ndugu Edward
Lowasa
17.
Ndugu Peter Kisumo
18.
Ndugu Ferdinand
Ruhinda
19.
Ndugu Mohamed
Abdulaziz
20.
Ndugu Leila Nassor
Khamis
21.
Ndugu Yusuf Mushi
22.
Ndugu Sam
Mapande
|
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - |
Mwenyekiti Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe Mjumbe |