KUTOKA MAGAZETINI

Bonyeza hapa kwa habari za leo

Habari za Uchaguzi Mkuu 

Yaliyojiri Kampeni za Mgombea Urais wa CCM

Makala

Dr Shein 

  • Hivi sasa kwa mfano wako wanasiasa wanaopita huku na huko wakitumia jina la Mwalimu Nyerere kwa lengo la kujinufaisha kisiasa. Wote tunafahamu umaarufu wa jina la Mwalimu Nyerere, siyo katika nchi yetu tu, bali kimsingi kwa dunia nzima. endelee>>>>

     

  • ZIPO semi mbalimbali za Kiswahili zinazofundisha mambo kadha wa kadha kuhusiana na mwenendo wa maisha ya binadamu, katika sayari hii endelea>>>>>

  • Mtu kashindwa safari ya kwanza, safari ya pili na safari ya tatu. Bado waendelee tu kumpa nafasi kugombea endelea>>>

  • ALHAMISI ya wiki iliyopita, ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ulitoa taarifa nzito na kali kuhusu uchaguzi wa Zanzibar, taarifa ambayo kimsingi imeweka wazi kuwa serikali ya Marekani haiyatambui matokeo ya uchaguzi huo endelea>>

  • SHUTUMA za ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuhusu uchaguzi ulivyofanyika Zanzibar zinaweza kuwachanganya watu wasioifahamu  Marekani na unafiki wa nchi nyingi za magharibi.Kwa anayeijua atakwenda mbali zaidi na kuchunguza.endelea>>.

  • Kwa jumla maeneo mengi nchini ni kame hivyo kuwafanya wananchi kuishi kwa shida.Kuwepo kwa tatizo la maji huchangia pia kuongezeka kwa umaskini ndani ya jamii.Imeshuhudiwa wananchi wakilalamikia tatizo la maji katika maeneo kadhaa nchini endelea>>.

  • CCM tumetanda kila mahali nchini kwa ajili ya kampeni za kitaifa, za majimbo na kata kwa maana za wabunge, wawakilishi na madiwani.endelea>>

  • Kazi ya kujenga Umoja wa Taifa ili wananhci wajisikie wako huru na watu wa taifa moja, inafanyika kwa misingi ya sera. Ziko sera za vyama vya siasa na serikali ambazo husababisha kujengeka kwa umoja wa taifa huru na zipo sera ambazo hujenga mfarakano, chuki, uhasama au kutominiani katika nchi.endelea>>

  • "ALAMA za mtu mnafiki ni tatu, akizungumza husema uongo, akitoa ahadi hatimizi na akiaminiwa hufanya hiyana. unyago si Jang'ombe tu hata Zingwezingwe nako huchezwa" endelea>>

  • KWA mara ya nne mfululizo, Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichoko Morogoro, juzi kiliandaa kongamano la nne la kumkumbuka Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere lililofanyika chuoni hapo, kilomita 25 kutoka Morogoro mjini.endelea >>.

  • MIAKA mitano si muda mrefu, lakini mtu anaweza kujipatia sifa kwa kipindi hicho kifupi kwa mazuri aliyoyafanya kwa jamii yake endelea >>.

  • WAKATI tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu, hali ya usalama kwa wafuasi na wapenzi wa vyama mbalimbali vya siasa inazidi kuwa hatarini, kwani baadhi ya viongozi hawana ustaarabu hata kidogo. Wanajiona kama madume wawili wanaogombea 'mchumba' mmoja, na hivyo kujengeana uhasama ambao wanadhani namna ya kuumaliza ni 'kummaliza' mpinzani wako endelea >>..

  • KATIKA kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 30, mwaka huu, kila chama cha siasa kimo katika mikakati na mbinu nzito katika kuhakikisha kinaibuka mshindi au hata kuambulia chochote katika uchaguzi ujao ambao utakuwa wa tatu katika mfumo wa vyama vingi vya siasa tangu kuasisiwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 endelea >>.

  • MIAKA ya hivi karibuni, Serikali imebuni mipango kadhaa kamambe ya kupambana na umaskini nchini. Ni vema lakini kuelewa kwamba sera za kupambana na umaskini zimekuwepo kwa miaka mingi

  • KAMPENI za kuwania Urais, ubunge na udiwani zimepamba moto. Vyama vya siasa vimeenda kwa kwa wananchi katika maeneo mbalimbali hapa nchini kujinadi endelea >>

  • UCHAGUZI katika nchi yoyote ni hatua muhimu kwa utekelezaji wa demokrasia. Ufanikishaji wake huhusisha wadau mbalimbali zikiwemo asasi zisizo za kiserikali (NGO) na taasisi za dini endelea >>

  • KIPINDI cha miaka kumi ya serikali ya awamu ya tatu kimeshuhudia imani ya wananchi ikiongezeka katika kuanzisha na kujiunga na vyama vya ushirika, hasa vya kuweka fedha na kukopa endelea >>

  • KIPINDI cha miaka kumi iliyopita cha Serikali ya awamu ya tatu kimeshuhudia kufufuka na kukua kwa kasi kwa uzalishaji viwandani, ikiwemo migodi.endelea >>

  • KAMPENI kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu zimepamba moto. Vyombo mbalimbali vya habari endelea >>

  • WAKATI kampeni zikizidi kupamba moto, ahadi hewa na zisizotekelezeka zinazidi kutolewa endelea >>

  • Kwa nini Watanzania wanajiandaa kuipa CCM ushindi wa kishindo? endelea >>

  • WAANDISHI wa habari wanawajibika kwa watu wanaoandika habari zao na wale wanaowaandikia, ikiwemo jamii ambayo husoma habari zao endelea>>

  • KATIKA kipindi hiki cha kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao, watu wasiojua siasa za Temeke, endelea>>

 

 

Taarifa zinazopatikana kupitia ukurasa huu si taarifa za Chama Cha Mapinduzi bali ni taarifa za Magazeti husika.