CUF ondoeni mkosi,
safari ijayo msimpe nafasi Seif Sharif
Hamad kugombea urais
SEIF Sharif Hamad baada ya kushindwa uchaguzi uliopita huko Zanzibar, anasema
kwamba uchaguzi ujao 2010 atagombea tena. Inashangaza
Seif anaona
ya CUF zaidi yake, au haoni aibu kwamba sasa awape nafasi na wenzake wengine ili
nao wajaribu bahati
miaka kumi ya kikatiba. Lakini kapitisha miaka mitano, hivi katika vyama
tuendelee kuruhusu tu ? Mtu kashindwa safari ya kwanza, safari ya pili na safari
ya tatu. Bado waendelee tu kumpa nafasi kugombea kana kwamba katika CUF hakuna
watu wengine wa kuweza kugombea nafasi hiyo na kukipa CUF
ushindi ?
Inafurahisha
amemshinda Karume kwa asilimia 50.7 badala ya madai yake ya awali kwamba
ameshinda uchaguzi huo kwa asilimia 57.
Anadai kwamba ana uhuru wa kufanya hivyo. Sawa, kwa vipindi vitatu mfululizo
uchaguzi baada ya uchaguzi anagombea, na anashindwa. Hivi wana CUF kweli
wanamhitaji tena, kwamba kila uchaguzi anashindwa, na bado wanampa nafasi
kuendelea kugombea ? Si ingekuwa bora wakaondoa mkosi kwa kuchagua mwanachama
mwingine akagombea nafasi hiyo labda huenda kikafanikiwa kuondoa mkosi na kupata
urais katika
uchaguzi ujao ?
Kwa kutokubali kushindwa Seif anazidi kuthibitisha udhaifu wa wanasiasa wa Afrika
kwa kutokubali matokeo ya kura halali,
kwani hata katika uchaguzi wa
George Weah
madai kwamba alishindwa kutokana na wizi wa kura, akidhani kwamba umaarufu wake
katika soka, kwa kupigiwa
kelele mitaani ndio kungempa ushindi
wa urais
Hebu atuambie uchaguzi halali ni upi na unakuwa kuwaje ? Anataka sasa uchaguzi
urudiwe na kusimamiwa na taasisi za nje. Daftari la kuandikisha wapiga kura
halikufaa ?
Suala la daftari
la kuandikisha wapiga kura lilikuwa
agenda kubwa
na waliishikilia hadi kukubalika katika muafaka. Sasa inakuwaje tena wanageuka na
kuliponda
nje?
Taasisi za
nje
wananchi wa
Seif Sharif si mjinga kiasi hicho, cha kutoweza kutambua kwamba uchaguzi uliopita
wapiga kura wa visiwa hivyo.
Hebu tuanze na kuangalia madai ya wizi wa kura. Inawezekana kweli katika uchaguzi
uliopita
jinsi wafuasi wa CUF walivyokuwa macho na makini kuhakikisha kwamba wapiga kura
katika maeneo yote walikuwa wapiga kura halali ?
Kitu kingine ni kwamba, wapiga kura wote walikuwa watu walioandikishwa kihalali
kwenye daftari la wapiga kura, na kura zote zilihesabiwa vituoni. Nani kamwibia
kura mwenzake ? Jibu ni kwamba hakuna chama cho chote kilichoiba kura, na matokeo
ya upigaji kura yalikuwa
ni utashi wa wapiga kura
wa
analazimika kukubali kwamba hayo ndiyo matokeo halali.
Napenda kukiri
kwamba
Abeid Karume wa CCM na Seif Sharif Hamad wa CUF. Ushindani huo pia imejitokeza
kati ya wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani na hivyo kujitokeza kwa changamoto
kubwa miongoni mwa wapiga kura. Baada ya kupiga kura wananchi walikuwa na shauku
kubwa kuyapata matokeo.
Matokeo yalipoanza
kutangazwa hadi mwishoni ilionekana dhahiri kwamba huko
CUF ndiyo yenye nguvu, na Zanzibar CCM ndiyo imeshika hatamu, na baada ya
kujumuishwa na kuhesabiwa kura zote CCM ndiyo iliyojitokeza mshindi.
Kwa matokeo
hayo, na
pemba ambako CUF ndiyo ina nguvu, au
mwenzake kura ? Jibu la mwenye akili timamu ni kwamba hakuna aliyemwibia mwenzake
kura matokeo ya kura yameonyesha nguvu ya kila chama katika eneo lake…
Kwa upande mwingine matokeo hayo ni funzo kwa vyama vya CUF na CCM kwamba upigaji
kura ulio huru na
kama ulivyojitokeza
nguvu za kweli za
kila chama huko visiwani, na
sasa kwa kila chama,
sasa kuweka mikakati ya kuimarisha nguvu ya vyama vyao tayari kwa uchaguzi wa
2010.
Haitasaidia chochote kwa sasa kulalamikia matokeo ya uchaguzi halali, kwani
matokeo hayo ndiyo matakwa ya wananchi. Kushindwa kwa wingi wowote wa kura ni
ushindi unaokubalika katika taratibu zote za kidemokrasia, hivyo aliyeshindwa
anapaswa kukubali. Vinginevyo asiyekubali kushindwa si mshindani.
simu: 0744 - 464279
e-mail: mhando3@hotmail.com