KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA
Mgombea Urais wa
Jamuhuri ya Muungano wa
Akihutubia mkutano huoMhe. Kikwete
aliwahakikishia wananchi
kuwa pindi akiingia madarakani atahakikisha kuwa anayaenzi na kuyadumisha
mafanikio yote yaliyo patikana toka serikali za
awamu zote tatu na kupambana
na tatizo la umasikini kwa Watanzania.
“ Nitajivunia
Kuhusu matatizo ya maji,
alisema atatumia uzoefu wake alioupata kama Waziri wa
Maji kuhakikisha anatatua suala hilo, pia nafasi
yake kama Waziri wa Fedha
kuhakikisha anapata fedha na tena
kutumia uzoefu wake kama Waziri wa
Mambo ya Nchi za Nje kuhakikisha
anatafuta wafadhili ili kupatikane kwa maji hata
kama italazimu kutoa mto Rufiji
yupo tayari kufanya hivyo. Ili mradi kupunguza au kumaliza tatizo la maji katika Jijini
la
Pia alielezea kuendeleza uboreshaji wa
miundombinu na kuahidi pindi akichaguliwa
kuwa Rais wa awamu ya
nne atahakikisha anaendelea kuziboresha barabara za mijini
kwa kiwango cha lami. Alisema ifikapo
Desemba 2006 kutakuwa na barabara
ya lami kutoka
Mtwara hadi Mwanza.
Mhe. Kikwete alipokea wanachama wapya wa CCM 18 na
wanachama 10 toka vyama vya upinzani.
Kati
Leo alhamisi Mhe. Kikwete anaendelea na ratiba
ya kampeni katika Mkoa wa
Pwani katika Wilaya ya Bagamoyo.