UHURU 09.10.2005
Mgombea mwenza
Chadema atelekezwa hospitali Dar
Ni
Kapooza mkono na mguu
l Kulazwa Hindu Mandal
Na
CHAMA cha siasa cha Chadema kinadaiwa kumtelekeza mgombea
mwenza wake wa urais wa
Mgombea urais wa
Mke wa mgombea mwenza huyo,
Habari zinasema Jumbe, ambaye kwa
mara ya kwanza alizidiwa akiwa kwenye kampeni na Mbowe, mkoani Kagera na
kulazimika kurejeshwa
Alisema baada ya Jumbe kuwa ametolewa hospitali, Okotba 2, mwaka huu alizidiwa na kupoteza fahamu ambapo alirudishwa Hindu Mandal na amelazwa hadi sasa.
Mwandishi wa habari hii
alipotembelea hospitalini hapo
Alisema walilipa gharama za matibabu ambazo ni sh. 39,000 na gharama nyingine za usafiri na kwamba
katika gharama za sasa walilazimika kukopa sh. 200,000 kutoka kwa mpangaji wa
nyumba
Alisema X-Ray aliyopigwa imeonyesha kuwa ana kitu
Alipoulizwa kuhusu madai kuwa chama hakimsaidii mgombea
mwenza huyo, alisema: "
Hata hivyo, baadhi ya watu wa karibu na mgombea mwenza huyo wamehoji kitendo cha Mbowe kutumia mamilioni ya shilingi kukodi helikopta kwa ajili ya 'mbwembwe' za kampeni, na kumwacha 'makamu wa rais' wake akitaabika hospitali.
Walidai kuwa
Helikopta anayotumia Mbowe imekodiwa
Helikopta hiyo kwa saa tisa siku inatumia sh. milioni 9.1, na kwa siku 30 itatumia sh. milioni 273.
Chadema yakimbiwa na mgombea ubunge wake
Ajiunga na CCM
Alikuwa pia mwenyekiti wake mkoa wa Moro
Na
MWENYEKITI wa Chadema mkoa wa Morogoro, David Mgesi ambaye alikuwa akiwania ubunge wa jimbo la Morogoro Kusini kupitia chama hicho, amehamia CCM jana kwa tuhuma za kuepuka migogoro inayofukuta kwa kasi kubwa ndani ya Chama hicho..
Mgesi alitangaza uamuzi wake wa
kukihama mbele ya waandishi wa habari alipokutana nao ofisi ndogo ya
Kikwete, ambaye
Kabla ya wimbo huo aliipokea kadi ya Mgesi na kumshukuru kwa kutambua ubaya wa Chadema.
Hafla hiyo iliongozwa na
''CHADEMA inakabiliwa na mgogoro mkubwa
unaofukuta kutokana na ubinafsi wa kukumbatia fedha nyingi zilizotolewa msaada
na chama cha upinzani cha Uingereza cha Conservative na zingine kutoka
Chama cha Conservative cha Uingereza ndicho kilichounda
serikali iliyokuwa ikiitawala
Alisema yeye alipokuwa mwenyekiti wa
mkoa alishiriki kuandaa bajeti ya uchaguzi kwa chama hicho na kwamba ilifikia
sh. bilioni tatu, lakini baada ya kupokea misaada kutoka kwa wahisani,
mwenyekiti wa Chadema,
''Baada tu ya magari, pikipiki na baiskeli kufika, uongozi wa Chadema taifa ulikata mawasiliano na wala sijui fedha walizopokea zinatumika kwa kitu gani,'' alisema.
Alisema ameamua kuachana na kuwania ubunge na uanachama wa Chadema kwa sababu baadhi ya wagombea wa udiwani na ubunge mkoani Morogoro wameanza kulalamikia tabia ya uongozi wa chama hicho kitaifa kuwanyima fedha za kampeni.
Alishangaa pia kuona nchi
CCM imekodi ndege kwa safari ya mgombea mwenza Tabora
MGOMBEA mwenza wa urais kupitia
CCM,
Na
CHAMA Cha Mapinduzi kimeeleza kimekodi ndege kwa safari ya mgombea mwenza wa urais
Kauli hiyo ilitolewa juzi na
Kamishina wa Tume ya
serikali katika Wilaya za Nyamagana na Ilemela uliofanyika kwenye ukumbi wa jiji.
Mboje katika kipindi cha maswali baada ya kupokea taarifa ya Tume kuhusu hali ya kampeni alilalamikia taarifa hiyo kuwa ya upande mmoja na
kwamba sio sahihi kwa sababu katika uzinduzi wa kampeni zake Wilaya ya Nyamagana CCM walitumia magari ya serikali na wakuu wa Wilaya wakiwepo ili hali kwenye kampezi za vyama pinzani hawaendi hivyo kutovitendea haki vyama vya hivyo.
Mbali ya kutumia magari na
rasilimali za serikali kwa safari za kampeni zao CCM pia alidai wamekuwa
wakitumia Ndege za serikali, suala ambalo kamishna alisema tayari alipokea
malalamiko
"Hivi sasa ndege za serikali
zinakodishwa kwa yeyote anayeweza kulipia gharama zake awe mfanyabiashara ama
chama chochote lakini hakuna chama chochote kinachoruhusiwa kutumia magari na
rasilimali nyingine za serikali kufanyia kampeni," alifafanua
Akijibu swali lake la pili ambalo lililalamikia baadhi ya vyama kukosa Ruzuku, Mahundi alisema Tume haitoi ruzuku bali Msajili wa Vyama vya Siasa kwa sifa zinazotakiwa ili usajili wa vyama vya siasa visigeuzwe kuwa miradi ya kujipatia pesa, mfumo ambao sio wa Tanzania peke yake bali dunia nzima kwa kupishana vigezo vya sifa stahili kulingana na mazingira ya nchi husika.
Akijibu swali la
"Kwa mujibu wa kanuni na masharti ya kufanya kampeni, CHAMA chochote cha siasa hakiruhusiwi kufanya kampeni kwenye luninga bali kwenye mihadhara ya majukwaa na nyumba hadi nyumba".Alisema.
Vyama vilivyohudhuria mkutano huo vilikuwa TLP, UDP, DP,
NCCR, CCM, CUF, TADEA na CHADEMA ambavyo havikufika
kwa kuwa havina ofisi mjini Mwanza. Vyama hivyo ni
CHAUSTA, NLD, FORD, PPT-MAENDELEO na
Watakiwa kumuandalia
‘mazishi ya heshima’ Kabourou kutokana na kifo cha
kisiasa
Na
WANACHAMA na wakereketwa wa CCM
katika jimbo la Kigoma mjini, wametakiwa kumuandalia 'mazishi ya heshima’ ya
kisiasa mbunge wa jimbo
Mgombea ubunge wa jimbo
Serukamba alisema mwisho wa enzi za Dk. Kabourou kuendelea kuwa mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini umewadia, kwani ana hakika ya kumshinda katika uchaguzi mkuu ujao jambo ambalo amelifananisha na 'kifo' cha kisiasa cha mbunge huyo.
Alisema dalili za Kabourou kushindwa katika uchaguzi ujao zimeshajionyesha kufutia mbunge huyo kutumia muda wake mwingi kuwa nje ya nchi kuliko kuzunguka jimboni mwake kuomba kura.
Mgombea huyo aliwataka wana CCM katika jimbo hilo kumuandalia 'mazishi' ya heshima Dk. Kabourou wakati wa 'kifo' chake hapo Oktoba 30 mwaka huu, siku ambayo Watanzania watapiga kura kuwachagua wabunge, madiwani na rais wa nchi.
"Mwanamume akiwa 'anakufa' msaidieni 'afe' kiume kwa heshima, na kwa sababu 'kifo' cha Kabourou kimewadia, tumuandaliea 'mazishi' ya heshima hapo oktoba 30 mwaka huu," alisema Serukamba.
Mgombea huyo amemtaka
Serukamba alisema kuwa tofauti na
wabunge wenzake waliofanya vitu vya kuonekana,
Alitoa mfano wa mbunge wa Kisarawe,
Sambamba na hayo mgombea huyo
amewaahidi wananchi wa kata hiyo ambao wengi wao ni wavuvi, kuwafanya wafaidi
na kutumia kikamilifu fursa ya Ziwa
Ngawaiya: CHADEMA
inawapotosha wananchi
Na
MPIGA debe mkuu wa CCM katika jimbo
la Moshi vijijini,
Juzi mgombea ubunge wa Chadema, Anthony Komu, alikaririwa akidai kumtaka Ngawaiya kurejesha sh. milioni 60 za wananchi, alizopewa na serikali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo wakati akiwa mbunge.
Katika kauli hiyo pia mgombea huyo wa
Chadema, alidai Ngawaiya anapaswa kurejesha fedha hizo kwani baada ya kuhama
upinzani na kuhamia CCM, alishindwa kuleta maendeleo katika jimbo
Ngawaiya akizungumzia madai hayo, alisema mgombea huyo wa Chadema hana hoja ya msingi, kwani fedha alizozitaja ni sehemu ya mshahara wake wa ubunge katika kipindi cha miaka mitano.
Hata hivyo, alisema mgombea huyo hana hakika na Anachokizungumza, kwani serikali ilimpa Ngawaiya zaidi ya milioni 100 zikiwa mshahara, na fedha za maendeleo zinatolewa na serikali kuu kwa halmashauri husika.
"Fedha za maendeleo hutolewa kwa
mkurugenzi wa halmashauri ambaye anakuwa na jukumu la kuzigawa kwa madiwani ili
ziende kufanya shughuli za maendeleo, na sio
"Labda hafahamu kwamba serikali pia haitoi fedha kwenye halmashauri bila ya kurejesha mahesabu ya matumizi ya fedha ambazo zimetolewa mwanzo, na anayerejesha mahesabu hayo ni mkurugenzi kwa kuainisha shughuli za maendeleo ambazo halmashauri imefanya," aliongeza.
Katika hatua nyingine alidai kuwa wakati akiwa mbunge jimbo la Moshi vijijini, aliwaletea wananchi wa kata ya Mabogini maendeleo, ikiwemo ununuzi wa darubini yenye thamani ya sh. milioni 1.8, na kusaidia kuondoa kero za wananchi kufuata huduma katika hospitali ya Mawenzi mjini hapa.
Pia alisema aliwezesha ujenzi wa choo katika soko la Nkoringa kata ya Kibosho, chenye thamani ya zaidi ya
Sh. milioni tano, pamoja na
uchagiaji wa zaidi ya sh. milioni 11 katika shule za msingi na sekondari kwenye
jimbo
Ngawaiya aliongeza kuwa kauli ya mgombea huyo imelenga kuipaka matope CCM, pamoja na kushawishi wananchi wasiipigie kura jambo ambalo alimshauri aachane na siasa za malumbano badala yake anadi sera za chama chake.
Alisema huu ni wakati wa kila chama cha siasa kunadi sera zenye lengo la maendeleo na sio kutumia majukwaa ya kisiasa kupakana matope.
"Mtu anayetakiwa kurejesha fedha za serikali ni yeye maana alisomeshwa na serikali na hajawafanyia wananchi lolote, kwa hiyo hafai kuwa mbunge maana akipewa nafasi hiyo atakuwa anatafuta maendeleo yake na sio ya wananchi," alidai Ngawaiya.
Kwa upande mwingine aliwataka wananchi wa
kata ya Mabomgini kumchagua mgombea ubunge wa CCM,
Alisema mgombea huyo amekuwa akimshauri rais masuala mbali
mbali ya kuiuchumi na amekuwa akitambua hali ya maisha
ya
TUICO yashauri rais
ajaye akutane na wafanyakazi
Na
CHAMA cha Wafanyakazi wa
Ushauri huo ulitolewa jana na Katibu Mkuu wa TUICO Taifa, Bonifaces Mkakatisi, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya Kamati ya Utendaji na Baraza Kuu la chama hicho, kwa lengo la kuwaelimisha sheria mpya za kazi iliyofanyiwa marekebisho na Bunge mwaka jana.
Mkakatisi alisema endapo rais ajaye ataweka utaratibu huo wa kukutana na wananchi kila baada ya miezi mnne utasaidia
kutatua matatizo mbali mbali ambayo wafanyakazi wamekuwa wakikumbana nayo
Alisema wafanyakazi wamekuwa wakiilalamikia serikali kwa utaratibu uliowekwa wa kuwakata kodi wafanyakazi, wakati wafanyabiashara ambao wamekuwa wakipata faida kubwa kwa mwezi hawakatwi kodi.
Katibu huyo alisema utaratibu huo unachangia kudumaza juhudi za wanafakazi katika kujiondoa na umaskini kutokana na kwamba ni wafanyakazi wachache wanaolipwa mishara kwa kima cha juu.
Hata hivyo, aliwalalamikia wamiliki wa kampuni mbali mbali wanaonunua baadhi ya kampuni na viwanda hapa nchini, kwa kutoa ahadi za kuviendeleza, lakini baada ya muda viwanda hivyo wanavitelekeza bila ya serikali kuchukua hatua yoyote.
Alisema mbaya zaidi ni ile tabia ya
ubaguzi ya kuwaajiri wafanyakazi wengi kutoka nje ya nchi na kuwalipa mishahara
mikubwa kwa madai kuwa Watanzania hawana uwezo, hata
Akifungua semina hiyo, Mwenyekiti wa
TUICO taifa,
Alisema pamoja na kwamba bado
sheria hiyo
Aliwataka kuacha malumbano na migogoro mbali mbali ndani ya chama ili kuungana kwa pamoja katika kukiendesha chama hicho na hivyo kiwe mfano kwa wengine na waweze kuvutwa nacho ili kutetea maslahi ya wafanyakazi.
Sheria hizo zilizofanyiwa marekebisho ni pamoja na sheria ya taasisi za kazi ya mwaka 2004 na sheria ya ajira na uhusiano kazini.
Aonya uuzwaji holela
shahada za kupigia kura
Prosper Kulita, Morogoro
MWENYEKITI wa
Dumba alitoa kilio hicho mbele ya mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro mjini Dk. Omary Mzeru, wakati wa mkutano wa kampeni ulifanyika katika kijiji cha Tubuyu.
Alisema kumekuwepo na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wamekuwa wakifika katika vijiji vinavyounda kata hiyo ambapo wamekuwa wakiwarubuni wananchi kwa kununua shahada hizo kwa shilingi 5000 .
Alisema kutokana na zoezi hilo haramu anaiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuinglia kati na kuzuia oezi hilo hilo ili kuweza kunusuru hali ya upigaji kura katika siku za usoni na katika uchaguzi wa mwaka huu.
Hata hivyo aliwasifu wananchi walioonyesha moyo wa uzalendo kwa kukataa kuuza shahada zao, ambapo alisema kuwa shahada hiyo ni moja ya heshima kwa Mtanzania ambapo pia inatumika kukutambulisha katika sehemu nyingi ambazo utahitajika kutoa kitambulisho endapo utakuwa huna.
Akihutubia wananchi katika kijiji hicho Dk. Mzeru alisema wananchi watunze shahada zao na wasikubali kurubuniwa na mtu wa aina yeyote na endapo watajitokeza watoe taarifa kwa uongozi wa kijiji na hata polisi ili wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Alisema utaratibu wa kununua shahada unadhihirisha jinsi gani vyama hivyo visivyo na uhakika wa kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo alisema kwa staili hiyo CCM itaendelea kuongoza nchi.
Wakati huo huo wananchi hao walishikwa na butwaa pale kaka wa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CUF Mahiku Maharagande alipopanda jukwaani kunadi sera za CCM huku akimwelezea mgombea wa CF kuwa ni mtu anaependa madaraka bila kujali anatakiwa kuyagawa kwa wananchi.