TAZARA iendeshwe
kibiashara - Mkapa
Na
Changamoto hiyo ilitolewa juzi usiku na
Rais Mkapa ambaye alikuwa nchini hapa kwa mwaliko wa Rais Mwanawasa akiwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 41 ya uhuru wa nchi hiyo, na pia kuwaaga wananchi wa Zambia, alisema reli ya Tazara ilijengwa kwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili na kwa msaada mkubwa kutoka serikali ya China kwa malengo makubwa mawili.
Aliyataja malengo hayo kuwa, kwanza ni kusaidia katika shughuli za ukombozi katika nchi za Kusini mwa Afrika, na la pili ni kuzikomboa kiuchumi nchi mbili hizo.
“Lengo la kwanza lilishafanikiwa, lakini hili la pili bado halijafanikiwa vya kutosha. Hata hivyo, ni matumaini yangu kuwa lengo hili la pili nalo litafanikiwa, siyo katika maana ya kujiondoa kutoka ubaguzi wa rangi wa Afrika ya Kusini, bali katika kujenga uwezo wa kikanda katika kuhimili changamoto za utandawazi,” alisema Rais.
Aliongeza kuwa
Katika dhifa hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na
muasisi wa Taifa
“
Aliongeza kwamba pamoja na
mabadiliko na misukosuko hiyo ya kisiasa,
Akizungumzia uhusiano kati ya
Akizungumza katika dhifa hiyo,
Alimpongeza kwa uongozi uliotukuka,
ambao umeiwezesha
“
Ni kutokana na kazi zako hizo za
kutukuka,
Alisema reli hiyo ambayo ilijengwa kwa
msaada wa nchi rafiki ya
Naye Rais Mstaafu wa Zambia, Dk. Kaunda, alimwambia Rais Mkapa kuwa ingawa anastaafu katika kuiongoza Tanzania, lakini ajue kuwa bado hajastaafu kwa kuwa bado nchi za Afrika na hata Watanzania wenyewe wataendelea kuhitaji huduma zake.
CCM yaridhishwa na wagombea wanawake - Mangula
Na
CHAMA Cha Mapinduzi kimeeleza kuridhishwa kwake na wananchi wanavyowaunga mkono wagombea ubunge wanawake
waliosimamishwa na
Mangula alisema
Kwa mujibu wa Katiba ya
Pia, marekebisho ya Katiba ya
Mangula alisema
Mmoja kati ya wagombea ubunge wanawake kupitia tiketi ya CCM
ni
Na
Chama cha Mapinduzi mkoani hapa kimepata msiba mkubwa
kufuatia Mwenyekiti wa Wazazi na
Akizungumza hapa
Mbawala alisema baada ya kuona hali yake siyo nzuri, aliamua kutibiwa katika zahanati ya Mbeya na baadaye kurudi nyumbani kwake.
Aliongeza kuwa mara baada ya kufika nyumbani kwake Ijumaa iliyopita, Mwenyekiti huyo alifariki dunia na mwili wake kuhifadhiwa katika hospitali ya mkoa hapa.
Alisema marehemu alitarajiwa kuzikwa
Katika uhai wake, marehemu alikuwa mwalimu wa shule za msingi wilayani Njombe na baadaye kufundisha
chuo cha Ihemi wilaya ya
Mwaka 2003 marehemu Mamba alikuwa mwenyekiti wa wazazi mkoani hapa. Mbali ya kuwa mwenyekiti wa wazazi, pia alikuwa
Kifo cha mwenyekiti huyo kimeacha pengo kubwa kwa Chama cha Mapinduzi na jamii nzima, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili ijayo.
Ishara ziko wazi CCM
kuibuka na ushindi wa kishindo, asema
Na
MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Ali Mohammed Sheni, amewahutubia wakazi wa mjini hapa na kuwaambia ishara ziko wazi kwa CCM kuibuka na ushindi wa kishindo.
Hali hiyo ilizua mlipuko wa hoihoi na nderemo kutoka kwa wana-CCM, ambapo walimzingira na kumvalisha fulani mbili za chama na kofia kichwani, wakati alipopita mbele kwenda kusema machache.
Akihutubia mkutano huo,
“Hawawezi na wala hawana ubavu, kwa sababu CCM si chama
cha mtu mmoja,” aliwaambia wakazi hao wa mkoa wa
Alisema viongozi wa Chama cha Mapinduzi wanatokana na wananchi na wana maadili ya kuheshimu watu, ndio maana wanaheshimiwa hata kupewa ridhaa ya kuongoza nchi.
Awali, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Ramadhan Ferouz, alisema CUF imekuwa ikiwarubuni wananchi wa wilaya ya Magharibi kuwa serikali iliyopo ya CCM haiwatendei haki kwa kutotengeneza barabara ya Mazizini hadi Fumba.
Alisema tayari serikali imeshachukua hatua ambapo imekopa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na ujenzi wa barabara hiyo unatarajiwa kuanza Desemba, mwaka huu, kwa kiwango cha lami.
Abeid akielezea kisa cha kuhama chama cha CUF, alisema
amechoshwa na hadaa za ruzuku kutumiwa vibaya ambapo
zilikuwa hazifiki wilayani, na viongozi wa huko kulazimishwa kuandika ripoti
Pia alilalamika kuwa CUF kimeelemewa na
maamuzi na nafasi nyeti kuelekezwa kwa wanachama wanaotoka visiwani
“
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mjini
Magharibi,
Miongoni mwa waliohudhuria mkutano huo ni
pamoja na
Wananchi waonywa
kutoenda na silaha vituo vya kupigakura
Na
SERIKALI imewaonya wananchi, kutoenda kwenye vituo vya kupiga kura wakiwa wamebeba silaha, kwani dola imewahakikishia usalama wao, imeelezwa.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya
Ndani,
“Jeshi la Wananchi litakuwa katika hali ya kuwa tayari
wakati wote na litaweza kuingilia kati kusaidia
linatakapohitajika,” alisema
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wadau wote wa uchaguzi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Polisi na vyombo vingine vya dola katika kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unafanyika kwa amani na utulivu.
Na
Hayo yalisemwa
Alisema majanga hayo yameonekana kutokana na utabiri wa mabadiliko ya hali ya hewa ambao umeshachapishwa baada ya kuhakikiwa na vyombo vya kisayansi vya kimataifa.
Mtaalamu huyo alisema katika taarifa hizo,
Vile vile alisema El- Nino kali itatokea mwaka mwaka 2007 hadi 2009 na kusisitiza kuwa kali zaidi itakuwa katika mwaka wa 2007/2008. El Nino nyingine itakuwa kati ya mwaka 2010 na 2013.
Kutokana na wasiwasi wa kutokea kwa majanga hayo, ameishauri serikali kufikiria njia za kukabiliana na majanga hayo ili kuepuka athari zinazoweza kuikumba nchi.
Ni hadi siku 30 bila kutozwa ushuru
Na
SERIKALI imeongeza muda wa
Uamuzi huo wa serikali umefuatia
ombi lililotolewa na Serikali ya
Hayo yalisemwa juzi Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi
Profesa Mark Mwandyosa, wakati wa mazungumzo rasmi yaliyofanyika kati ya
serikali hizo mbili na ambayo kwa upande wa Zambia yaliongozwa na Rais Levy
Mwanawasa na kwa Tanzania yakaongozwa na Rais Benjamin Mkapa. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu ya
Alisema serikali iliweka siku 15 za kuhifadhi mafuta ghafi kabla ya kuanza kutoza ushuru ili kukabiliana na vitendo vya ukwepaji kodi uliokuwa ukifanywa na baadhi ya wafanya biashara ambao si waaminifu na ambao walikuwa wakisema mafuta hayo yalikuwa yakisafirishwa nje, ili hali yalikuwa yakiishia mitaani.
Zambia ambayo hivi sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta, baada ya mitambo yake ya kusafishia mafuta ghafi iliyoko Ndola kuharibika, ilikuwa imeiomba Serikali ya Tanzania kuiongezea muda wa kuhifadhi mafuta yake kutoka siku 15 za sasa hadi 30 ili iweze kuagiza mafuta mengi katika juhudi za kukabiliana na tatizo hilo linalotishia kusambaratisha uchumi wa nchi hiyo.
Kwa taratibu za bandari, mafuta yanayosafrishwa nje ya
Kwa hali hiyo, kutokana na matatizo
ya usafirishaji wa nishati hiyo, na ili kupunguza gharama, Serikali ya
Pamoja na
Uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo, pia unaweza kuathiri uingizaji wa nafaka nchi humo ili kukabiliana na tatizo la upungufu mkubwa wa chakula unaoikabili nchi hiyo kwa sasa.
Kwa mujibu wa
TISCAN kizimbani kwa kukiuka mkataba na kashfa kwa mteja
Yadaiwa fidia ya mamilioni ya shilingi
Na
KAMPUNI ya kuondoa mizigo bandarini ya Quality Business Consultancy (QBC) Tanzania Ltd, imeishitaki kampuni ya ukaguzi wa mizigo inayoingia nchini, TISCAN Limited kwa kukiuka mkataba na kuisababishia hasara ya mamilioni ya shilingi.
Pamoja na kutaka kulipwa mamilioni ya shilingi, kampuni ya QBC ambayo hufanya kazi ya kuondoa mizigo bandarini, imetaka kulipwa fidia kwa kukashifiwa kuwa ilighushi hati ya kutolea mizigo, jambo ambalo ilidai kuwa si kweli.
Katika kesi hiyo iliyotajwa
Mdamu alidai katika hati iliyowasilishwa mbele ya
Alidai kuwa mteja wake alipokwa kufanya kazi hiyo bila sababu za msingi na matokeo yake kudaiwa ameghushi hati ya kutolea mzigo husika. Hati hiyo inadaiwa kutumiwa na kampuni ya Global Logistics Limited.
Kutokana na kukosa kazi na kukashifiwa, Mdamu ameiomba mahakama kuziamuru TISCAN na Tongfan kumlipa mteja wake fidia ya zaidi ya sh. milioni 36.
Pamoja na fidia hiyo, QBC kupitia kwa wakili wake inaomba kulipwa na wadaiwa riba ya asilimia 30 ya gharama hizo kwa mwezi kuanzia Machi, mwaka huu ambazo ni sawa na zaidi ya sh. milioni 10.8 kila mwezi.
Vile vile, Mdamu ameiomba mahakama kuamuru mteja wake kulipwa riba ya asilimia 12 ya hasara aliyoipata mteja wake ambayo ni sawa na sh. milioni nne kila mwezi.
Mdamu pia ameiomba mahakama kuiamuru TISCAN kulipa fidia mteja wake kutokana na maneno ya kashfa yaliyoko katika maandishi, dhidi yake kuwa ameghushi hati ya kutolea mizigo.
"TISCAN imemkashifu mteja wangu na
kusababisha akose hadhi, heshima na uaminifu mbele ya jamii kwa kuzingatia kuwa
mmoja wa wakurugenzi wake ni Makamu wa Rais wa TAFFA (Chama cha Mawakala wa
Forodha
Si hivyo tu, mteja wangu pia na
Mjumbe wa Bodi ya Walaji ya
Kwa kukashifiwa huko, Mdamu alidai mteja wake amepata pigo kubwa kibiashara kutokana na kampuni ya kimataifa ya ABB Limited ambayo imekuwa ikiipa kandarasi ya kufanya shughuli kwa niaba yake hapa nchini kukatisha mkataba baada ya kupokea taarifa hizo.
TISCAN inatetewa na kampuni ya
mawakili ya
Kikwete apongeza UN kusaidia kupambana na umaskini
Na
WAZIRI wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa
Kikwete alitoa shukrani hizo
UN ilianza mwaka 1945 ikiwa na
wanachama 51, lakini sasa
Kabla ya hotuba yake, Kikwete alikagua gwaride rasmi la askari wa Jeshi la Wananchi nchini na kushuhudia upandishwaji wa bendera ya UN.
Alisema kitendo cha nchi tajiri duniani kufanya mkutano maalum kujadili mkakati wa kusaidia maendeleo ya nchi maskini duniani ni moja ya dhamira za UN, kwani kifungu cha 55 cha makubaliano ya Umoja huo kinasisitiza kuona kila binadamu anaishi maisha bora.
Kikwete ambaye pia ni mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, alisema nchi zinazoendelea zinakabiliwa na kazi ya kuweka mazingira bora kuwavutia wawekezaji na kusimamia ukuaji wa uchumi, kupambana na rushwa na kutoa haki kwa watu wote.
"Ninafurahi kuona
Alisema
Hata hivyo , Kikwete alisema pamoja
na kufutwa kwa deni
Alisema mazungumzo yaliyofanyika Doha, Qatar mwaka 2001 yalianza vizuri kujadili mfumo wa biashara, lakini yanahitaji kuendelezwa wakati wa mkutano wa Shirika la Biashara Duniani utakaofanyika Desemba mwaka huu Hong Kong.
Hendra alisema UN itashirikiana na nchi mbalimbali duniani kupambana na umaskini na magonjwa yakiwemo ya Ukimwi ili kufikia malengo ya milenia ya maendeleo ifikapo 2015.
Kuhusu sulala la misaada, biashara na kufutwa kwa madeni ya nchi maskini, alisema anayo matumaini kwamba mkutano utakaofanyika baadaye kuhusu masuala ya biashara utakuwa na mafanikio .
Hendra alimhakikishia
Alisema pia kwamba UN imeridhia kwa dhati mkakati wa kupambana na umaskini Zanzibar (ZPRP) .
Na
SHEIKH wa Mkoa wa
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa
Kasenga ambaye alikuwa anaumwa, anatarajiwa kuzikwa
Taarifa ilifafanua kuwa Kasenga alijiunga na
BAKWATA katika miaka ya 60 na alilitumikia Baraza
Citibank yafurahia mazingira ya biashara
Yatimiza miaka 10 nchini
Na
UONGOZI wa Citibank umesema mazingira ya biashara yalivyoboreshwa hapa nchini yanaonyesha dalili nzuri za kukua kwa uchumi.
Hayo yalisemwa
"Biashara hapa nchini zinakuwa kwa kasi, hii inachangiwa na mazingira mazuri yaliyowekwa ya kufanya biashara," alisema Malik.
Alisema katika kipindi cha miaka 10 tangu benki hiyo ianze kutoa huduma zake hapa nchini, kumekuwa na mafanikio mengi ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa idadi ya wafanyakazi wazalendo.
Alifafanua kuwa wakati benki hiyo inaanza kutoa huduma, asilimia 90 ya wafanyakazi wake walikuwa ni kutoka nje lakini sasa asilimia 75 ya wafanyakazi katika benki hiyo ni kutoka hapa nchini.
Maliki alisema maadhimisho ya miaka 10 ya kutoa huduma nchini yatafanyika keshokutwa ambapo wadau na wateja wa benki hiyo watashirikishwa.
Alisema, Citibank itazidi kutoa huduma katiak maeneo mbalimbali nchini kwa njia tofauti ikiwemo ya kushirikiana na taasisi nyingine za fedha katika maeneo ambako hawana matawi au ofisi.
"Hata hivyo, tunaweza kuhudumia
wateja wengi zaidi bila hata kufungua matawi kwa kuwa huduma yetu pia
inapatikana kwenye mtandao wa intaneti ambao kwa sasa unazidi kuenea sehemu
mbalimbali nchini," alisema
Alisema mbali ya kutoa huduma za kibenki, pia wanatoa misaada mbalimbali ya kijamii.
Citibank ni taasisi ya fedha ya kimataifa yenye kutoa huduma katika nchi mbalimbali zaidi ya 100 duniani kote zikiwemo 17 za Afrika.