RATIBA YA UTEUZI WA WAGOMBEA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE LA
JAMHURI YA MUUNGANO NA SPIKA WA BARAZA LA WAWAKILISHI
1.0
UTANGULIZI
1.1
Uchaguzi wa Maspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
1.2
Zoezi la
kumpata Spika kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za
Uchaguzi linahusisha vyama vyote vya siasa nchini.
1.3
Chama Cha
Mapinduzi kwa upande wake, kina utaratibu wa
kupendekeza wanachama wake watakaokwenda kugombea nafasi hizo.
2.0
UTARATIBU
WA UTEUZI NDANI YA CHAMA
2.1
Waombaji wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
A: KUCHUKUA
NA KURUDISHA FOMU
(a)
Nafasi ya Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
(i)
Kuchukua fomu
tarehe
(ii)
Tarehe ya
mwisho ya kurudisha
(iii)
Fomu
zitachukuliwa na kurejeshwa kwa Katibu Mkuu wa CCM.
(b)
Nafasi ya Spika
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
(i)
Fomu zitachukuliwa
tarehe
(ii)
Tarehe ya
mwisho wa kurudisha fomu ni
1
(iii)
Fomu
zitachukuliwa na kurejeshwa kwa Naibu Katibu Mkuu
(c)
Gharama ya
kuchukua fomu kwa nafasi zote mbili za Uspika ni Tsh.
500,000/=.
B: VIKAO
VYA UCHUJAJI NA UTEUZI
(i)
Tarehe
(ii)
Tarehe
(iii)
Tarehe
(iv)
Tarehe
(v)
Tarehe
3.0
Utaratibu wa kugombea, kuchuja na Uteuzi wa Manaibu wa Spika utafanywa
na Vikao vya Kamati za Wabunge/Wawakilishi wote wa CCM.
2