VIONGOZI WA
KITAIFA WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA (UWT) WACHAGULIWA
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake cha tarehe 22-29/1/2004 iliipongeza Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) kwa kukamilisha chaguzi za viongozi wake katika ngazi mbali mbali kuanzia ngazi ya chini hadi Taifa.
Pia
iliwapongeza viongozi wote waliochaguliwa kuiongoza UWT katika maeneo yao kwa
kipindi cha miaka mitano ijayo (2003-2008).
Kitaifa
waliochaguliwa ni kama ifuatavyo:-
1.
Mama Anna Abdallah
– Mwenyekiti wa UWT Taifa
2.
Mheshimiwa Amina Salum Ali – Makamu Mwenyekiti wa UWT Taifa
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza
Kuu la UWT kuanzia 2003-2008 ni hawa wafuatao:-
1. Mhe. Khadija Saleh Ngozi (Mb) - Mjumbe
2. Mhe. Amina Salum Ali (MBLW) - Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Anna M. Abdallah (Mb) - Mwenyekiti
4. Ndugu Halima M. Mamuya (MNEC) - Katibu Mkuu
5. Mhe. Asha-Rose Migiro (Mb) - Mjumbe wa kualikwa
kutokana
na dhamana yake ya kuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto katika
Serikali ya Muungano
6. Dr. Victoria Kanama - Mjumbe
7. Mhe. Maria Ibeshi Hewa - Mjumbe
8. Ndg. Asha Simba Makwega (MNEC)- Mjumbe
9. Mhe. Asha Bakari Makame (MBLW) - Mjumbe
10. Ndg. Salama Mzee Majaliwa - Mjumbe
11. Mhe. Shamsa Mwangunga (Mb) - Mjumbe
12 Mhe. Samia Suluhu (MBLW) - Mjumbe
wa kualikwa
kutokana
na dhamana yake ya kuwa Waziri wa Ajira, Vijana, Wanawake na Watoto katika
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
13.. Mhe. Salome Joseph Mbatia (Mb) - Mjumbe
14. Mhe. Zakia Meghji (Mb) - Mjumbe
15. Mhe. Dr. Maua Abeid Daftari (Mb) - Mjumbe
16. Ndg. Domina Ngwada - Naibu Katibu Mkuu
Tanzania
Bara
17 Ndg. Salama Aboud Talibu -
Naibu Katibu Mkuu
T/Zanzibar